Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ile kiu ya mashabiki wa simba juu ya uzi wao mpya watakao utumia msimu huu kitendawili sasa kimeteguliwa.
Leo saa tano asubuhi jezi zitazinduliwa kaa mkao wa kula.#we are unstoppable.
View attachment 2316654
Mshana uliwaambia zile jezi zitawaponza wakakubishia
Uzi ni mzuri balaaaKuanzia saa tano asubuhi uzi mpya utakuwepo madukani.
Nacheka kicenge wallah[emoji23]Mshana uliwaambia zile jezi zitawaponza wakakubishia