Kauli ya Ngassa imenifurahisha lol!
Yani twende taifa tukampige mtu kamoja tuu???kama matokeo yatakua hivi ntakua tayari 'kubanduliwa'aise!Kumbukumbu tarehe ya leo
18 May 1991 Yanga 1 - 0 Simba
sijui itajirudia ngoja tutaona aisee...
Kumbukumbu tarehe ya leo
18 May 1991 Yanga 1 - 0 Simba
sijui itajirudia ngoja tutaona aisee...
Yani twende taifa tukampige mtu kamoja tuu???kama matokeo yatakua hivi ntakua tayari 'kubanduliwa'aise!
Hapa ni kuanzia 5-0!
Mkuu hizi moja moja ameshakula nyingi tu,mimi nataka ile 5-0 kwa sababu haya majamaa unajua kenye hilo yametukamata,yani hatupumi,mara oooh ubingwa mmechukua lakini hamuwezi 5,mara sijui nanihii kafanya vile lakini hizi 5 noooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!.
Yani twende taifa tukampige mtu kamoja tuu???kama matokeo yatakua hivi ntakua tayari 'kubanduliwa'aise!
Hapa ni kuanzia 5-0!
Haiwezi Ikajirudia Mkuu, Simba leo anakaa nyingi tu.
Kwani Simba kuwapigwa 7 hatuwezi?
Yani twende taifa tukampige mtu kamoja tuu???kama matokeo yatakua hivi ntakua tayari 'kubanduliwa'aise!
Hapa ni kuanzia 5-0!
Nitake ladhi bana,au unanifananisha na mkuu ndetichia 'aka'Mzee Hassan Dalali 'aka'friends of Azam.Lakini Mkuu wewe si Simba ama naona vibaya?!
Mkuu, Goli 5 zipo leo. Simba hakuna mfungaji pale, kama kona ni Goli basi sawa nakubaliana na wewe kwamba tunaweza tukatoka 5 kwa 2.
Mkuu hizi moja moja ameshakula nyingi tu,mimi nataka ile 5-0 kwa sababu haya majamaa unajua kenye hilo yametukamata,yani hatupumi,mara oooh ubingwa mmechukua lakini hamuwezi 5,mara sijui nanihii kafanya vile lakini hizi 5 noooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!.
Thubutu zao!Mkuu angalia hapo kwenye RED hao jamaa wanaova hiyo rangi wasije kukutafuta halafu uanze kukasirika!!!!!!!!!!!
Nguo ya njano sijui hata kama ninayo, labda jezi ya Taifa star ina vistrip vya njano na yenyewe siku kama leo siwezi kuivaa.Mkuu Masuke leo vaa uzi wa njano au kijani ili usijelazimishwa kuvua hiyo blauzi yako nyekundu.
Mkuu weka swali lako likae vizuri ili upate jaibu sahihi.
Mkuu Yanga hawana timu ya kuifunga Simba goli tano, mkijitahidi sana itakuwa moja bila au draw na sana sana tutawachapa mbili moja; Timu yetu si mbaya kiasi hicho; toka ligi ianze magoli mengi ni mawili tu yale ya Mtibwa.
Kwa hiyo hadi dakika 90, display itasoma hivi: Simba 2-1 Yanga.
Mkuu WABHEJASANA iweke pembeni hiyo 5m mashabiki wa YANGA waipangie bajeti.
Nirushieni hata pipi kwani niko mbali.
Nakubaliana na wewe Mkuu masuke lakini vijana wanatakiwa wakaze sana msuli unajua simba wananiudhi sana na maneno yao ya ngumi.mimi nataka nikwambie masuka,natangaza rasmi na naomba hili kila mmoja aweke kenye akili yake na tuwasiliane baada tu ya mechi,endapo kama yanga wataifunga simba Idadi ya Mabao matano hata kama ni tano mbili,tano tatu,tano moja ama zaidi ya hayo,mimi naahidi kwamba Natoa Milioni 5 cash,wanayanga wote tuliomo humu mtachagua tukutane wapi,kwa mara ya kwanza tufahamiane,kwa sababu mmekjuwa mnanifurahisha sana kwa michangi yenu na utetezi ndani ya JF,na mashabiki wa Yanga ndio nimegundua ni wengi humu ndani ya JF.naomba ieleweke hivyo na baada ya mechi naomkba yeyote yule ambaye anaamini yeye ni Yanga Daima ani-PM mara moja ili tukubaliane kama ni kesho wapi tunakutana,na kama kwa yule atakayekuwa uwanjani asisite kuni-PM hapohapo kabla hatujatoka uwanjani ili ikiwezekana tuanze kufahamiana humohumo na kupeana mawasiliano namna ya kupanga kukutana na nasema hivi wakishinda leo hii,hicho kikao ama sherehe ni kesho JUMAPILI.