Nani amekwambia wamezuia sababu ya corona?
[emoji724][emoji706] Haya maswali muulize dada ako niliyempa mimbaUmeamkaje leo? Bado unajisikia kichefu chefu na miguu kuvimba?
Sure mkuuHawa watu inabidi ujipe muda mwingi sana ktk kuwaelewesha,ukienda haraka haraka huwa hawaelewi.
Munaongoza ligi au kufukuza makocha..?Mbona tunaongoza ligi!? Labda unaongelea ya Yanga ya mtaani kwako!
Ha ha ha...🤣🤣🤣 Sasa mbona unapanic mwanayanga mwenzangu? Huo si ugonjwa. Ni jambo la kawaida tu baada ya muda ukimaliza linaisha unabaki normal. LAMBA LIMAO. halafu tulia kunywa soup...kaaa chini nyosha miguu. Tuliza moyo usije ukaharibu ....tulia dawa ilishaingia subiria tu matokeo.[emoji724][emoji706] Haya maswali muulize dada ako niliyempa mimba
Bro kama huna hoja ya maana inayohusiana na hii thread you better shut up
Tusitafutiane ban za lazima
ent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
.Yanga hatuna wanafiki mamluki kama nyie.Ha ha ha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa mbona unapanic mwanayanga mwenzangu? Huo si ugonjwa. Ni jambo la kawaida tu baada ya muda ukimaliza linaisha unabaki normal. LAMBA LIMAO. halafu tulia kunywa soup...kaaa chini nyosha miguu. Tuliza moyo usije ukaharibu ....tulia dawa ilishaingia subiria tu matokeo.
Just cool down yataisha hayo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watakuwa wamezuia kwa sababu hakuna Corona. Hivyo ndivyo tulivohubiriwa tukaelewa.
Na ile mechi ya wa South Africa na Algeria ilishachezwa au nayo kutafuata utaratibu huu huu?
Tuko vizuri!
Corona ni akili yako inavyoamini.
Ukiamini ipo basi ipo ukiamini haipo basi haipo
Wala usipanic ...just relax... Sawa eeeeh.... Relax. Vuta pumzi shusha.... Lala kwa ubavu au chali. Usilalie tumbo. Endelea kujenga utulivu. Huhitaji kuwa na hasira. Mi naelewa situation yako... Huu ndo wakati wake. Unakuwa na hasira,chuki,wivu na husda.ila yatisha tu. Uwe mvumilivu. 😁
Mamelodi SundownsHaya ni maamuzi yaliyotokana na kipigo ilichokipata Al Ahly dhidi ya Simba kwa Mkapa. Nafikiri kocha Pitso Motsimane amemwambia Rais mpya wa CAF Motsepe kwamba Simba inanufaika na uwepo wa mashabiki uwanjani, kitu ambacho timu nyingine zinaona hakileti usawa.
Tukumbuke Rais mpya wa CAF ni mdhamini mkuu wa Mamerod Sundowns hivyo naye anaona hatari endapo huko mbele ya safari timu yake ikikutana na timu inayocheza mbele ya mashabiki wake kama Simba.
Sawa mkuu.
Haya ni maamuzi yaliyotokana na kipigo ilichokipata Al Ahly dhidi ya Simba kwa Mkapa. Nafikiri kocha Pitso Motsimane amemwambia Rais mpya wa CAF Motsepe kwamba Simba inanufaika na uwepo wa mashabiki uwanjani, kitu ambacho timu nyingine zinaona hakileti usawa.
Tukumbuke Rais mpya wa CAF ni mdhamini mkuu wa Mamerod Sundowns hivyo naye anaona hatari endapo huko mbele ya safari timu yake ikikutana na timu inayocheza mbele ya mashabiki wake kama Simba.
Simba tuko vizuri
Sawa mama..wee naee ushamba mzigo