Simba SC Vs ES Setif

Simba SC Vs ES Setif

Subiri kesho mechi ianze ndo tupeane habari, kama unazitaka za leo, Mwinyi Kazimoto na Chollo ni majeruhi.
 
Mapema mno, hizi mechi si za kuzungumza mapema, unaweza usile siku mbili
 
Bila shaka es Setif watatatufurahisha watanzania kwa kumkanyaga mnyama!
 
Simba watanzania tupo pamoja na maombi yetu yapate kibali mbele ya mungu kesho mshinde kuanzia goli2,3,4 kwa sifuri
 
Back
Top Bottom