Simba SC Vs ES Setif

Mahmoud Shariff Qaasim

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2007
Posts
923
Reaction score
267
Jamani wapenzi na wadau wa Simba SC tupeane habari za mechi ya kesho, naona kimya mno hapa jukwaani.
karibuni
 
Subiri kesho mechi ianze ndo tupeane habari, kama unazitaka za leo, Mwinyi Kazimoto na Chollo ni majeruhi.
 
Mapema mno, hizi mechi si za kuzungumza mapema, unaweza usile siku mbili
 
Bila shaka es Setif watatatufurahisha watanzania kwa kumkanyaga mnyama!
 
Simba watanzania tupo pamoja na maombi yetu yapate kibali mbele ya mungu kesho mshinde kuanzia goli2,3,4 kwa sifuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…