Kweli ulitabili. Ulisahau kutabiri.Wakuu leo ni siku nzuri sana, kwa mashabiki, na watani, wa jadi, wa mpira wa miguu, me ni mshabiki, na mpenzi, wa mnyama Simba SC.
Utabili wangu leo, ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu yangu kuwa na mwendelezo mzuri wa dozi.
Na leo pia tunaenda kuwauwa Yanga.
Vipi maoni yako, Wewe kuhusu game ya Leo?
Unadanganywa, chukua hatua! Hakuna mechi isiyo na umuhimu katika michezo. Kama unabisha jilegeze kwenye Ndondi kama hutatolewa macho.Unakimbiza mwizi kimyakimya wakati we mwenyewe mwizi?
Hapo ulipo sio pako pana mwenyewe uko hapo kwa muda tu usijisahau
Simba ina kikosi kipana na hicho kinatumiwa kwa mahesabu kulingana na uthamani wa ligi.
Hivi unafikiri kingewekwa kile kikosi kilichotoa kipigo cha 4-1 we unafikiri ingekuwaje?
Viporo gani? Focus ya simba sio ligi kuu maana hilo hakuna wa kumuepusha mnyama na ubingwa.
Wewe una akili na utafanikiwa sana katika mipango yako.Munahaki ya kusema yote hayo hongera zenu,
Mmeshituka? Soon mtatutangazia vita kama kawaida yenu!Habari kila mmoja! Naitwa magana ni shabiki kindakindaki wa club pendwa kabisa ndani na nje ya mipaka ya nchi simba sc. Awali ya yote napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa watani wangu wa jadi young Africa kwa ushindi waliopata baada ya kuifunga club kubwa balani Africa kwa mikwaju ya penality 4-3 Hongereni sana [emoji122]. Ni Jambo la kujivunia kwa kila aliye shabiki wa yanga kuifunga club kubwa balani Africa simba sc, hakika leo ni siku ya furaha ya kiwango cha juu sana kwenu na kwa kila mmoja wenu kwa nafasi yake ataongea kwa kadri alivyojaliwa. Ila nitoe angalizo tu kwamba, kumbukeni kuweka hakiba ya maneno, mwendo haujaisha. Wasalam