OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa Mara ya kwanza Kombe LA afrika lilitua taiga 1993 simba kafika fainali unajua hiloo? Unajua simba ndiye bingwa was Mara nyingi waa kombe LA kagame? Kachukua Mara 6 au kimataifa gani unazungumzia Leo afrika ukitaja Tanzania wanaijua simba siyo takatakabza kuhonga wachambuzi maandaziila maajabu hamna hata kombe la kimataifa
Kwa Mara ya kwanza Kombe LA afrika lilitua taiga 1993 simba kafika fainali unajua hiloo? Unajua simba ndiye bingwa was Mara nyingi waa kombe LA kagame? Kachukua Mara 6 au kimataifa gani unazungumzia Leo afrika ukitaja Tanzania wanaijua simba siyo takatakabza kuhonga wachambuzi maandazi
Konate hawezi kuja simba red bull Salzburg ya Austria alipopita sadio mane na patson daka washaweka usd millions 2...sakho tu kuja simba akiwa MVP waaa ligi ya Senegal ilileta maneno ya dharau ila kwa kuwa anachukuliwa na sporting Lisbon ya ureno soon Senegal washaelewa kwamba simba nii daraja LA uhakikaKonate ni ngumu Sana kuja Simba ndugu yangu.Media houses za ivory coast zinampamba kila siku na kumfananisha na drogba wa baadae,wenyewe wanasema ana hadhi ya kuchezea ulaya na si Africa .Kiufupi huyu dogo ni kama Kelvin John wa bongo kule kwao
Wa kuja bongo hapa ni Yule wa USGN;Adebayo
Hata mwenyewe anaonekana km anaipenda simba,na anonekana endapo ulaya kutabuma ameiweka Simba km option B
Simba 74 kafika nusu fainali...93 fainali...Leo Mimi chongo nabishana na kipofu anayeishiaga round ya awali anapigwa nje ndaniduh kagame ni kimataifa?Aiseee
Hio fainali kombe alibeba ama hakubeba?
Takwimu za Simba halafu Utopolo ndio iwe mbali?Zingekua takwimu ndio makombe tungekua mbali sana
Hayo majinga hata mchezaji waaa kikosi cha week wanajua maana yakee kweli?Takwimu za Simba halafu Utopolo ndio iwe mbali?
Waache wajisahau hivyo hivyo waendelee kumpamba ila wakija kustuka sakho tayari thamani yake ni B5Konate ni ngumu Sana kuja Simba ndugu yangu.Media houses za ivory coast zinampamba kila siku na kumfananisha na drogba wa baadae,wenyewe wanasema ana hadhi ya kuchezea ulaya na si Africa .Kiufupi huyu dogo ni kama Kelvin John wa bongo kule kwao
Wa kuja bongo hapa ni Yule wa USGN;Adebayo
Hata mwenyewe anaonekana km anaipenda simba,na anonekana endapo ulaya kutabuma ameiweka Simba km option B
Kwa timu ya ASEC Mimosas huenda Mchezaji Aziz Stephanie..! kuja Simba SCKonate hawezi kuja simba red bull Salzburg ya Austria alipopita sadio mane na parson daka washaweka usd millions 2...sakho tu kuja simba akiwa MVP was ligi ya Senegal ilileta maneno ya dharau ila kwa kuwa anachukuliwa na sporting Lisbon ya ureno soon Senegal washaelewa kwamba simba no daraja LA uhakika
Aisee huyo jamaa ni nomaKonate hawezi kuja simba red bull Salzburg ya Austria alipopita sadio mane na parson daka washaweka usd millions 2...sakho tu kuja simba akiwa MVP was ligi ya Senegal ilileta maneno ya dharau ila kwa kuwa anachukuliwa na sporting Lisbon ya ureno soon Senegal washaelewa kwamba simba no daraja LA uhakika
. . hasa wale wanaotoa chambuzi zenye vinasaba vya kitopolowachambuzi wa mchongo wanasemaje ?
hahhahahahahila maajabu hamna hata kombe la kimataifa
Benin ni neutral ground. Ushindi unanukiaHakyamungu bahasha za khaki week hii za moto wanaombea simba afungwe huko Benin wawashe moto huko ukakanjanjani maboss wao wawakumbuke
Simba 74 kafika nusu fainali...93 fainali...Leo Mimi chongo nabishana na kipofu anayeishiaga round ya awali anapigwa nje ndani
Endeleeni tu kupokea wageni airport ila wajinga nyie mshapangwa kundi moja na rayon na gorr mahia mkaambulia points 4 mechi sita wajinga nyie
Hapo kuna wachezaji wa Simba peke yake?Takwimu za Simba halafu Utopolo ndio iwe mbali?