Simba SC wakilikazania hili Performance ya Uwanjani itaongezeka na kuwa Washindani hasa

Simba SC wakilikazania hili Performance ya Uwanjani itaongezeka na kuwa Washindani hasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Saikolojia

Nimetizama takribani Mechi Tano ( 5 ) za Simba SC na nilichokiona kwa 90% kinachoisibu ni Utulivu wa Kiakili ( Saikolojia ) ya Wachezaji.

Body Language ya Wachezaji wa Simba SC ukiwa ni Mngwena ( Mwamba ) wa Saikolojia utagundua kuwa Tatizo Kubwa lipo Vichwani mwao, linawauma na hata Kuathiri Uchezaji Wao.

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Simba SC haina Kikosi Imara na cha Ushindani ila ninachoamini Wachezaji wa Simba SC wanahitaji Psychological Counseling tena ya haraka mno.

Naomba hili lifanyike haraka sana tu.
 
Saikolojia

Nimetizama takribani Mechi Tano ( 5 ) za Simba SC na nilichokiona kwa 90% kinachoisibu ni Utulivu wa Kiakili ( Saikolojia ) ya Wachezaji.

Body Language ya Wachezaji wa Simba SC ukiwa ni Mngwena ( Mwamba ) wa Saikolojia utagundua kuwa Tatizo Kubwa lipo Vichwani mwao, linawauma na hata Kuathiri Uchezaji Wao.

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Simba SC haina Kikosi Imara na cha Ushindani ila ninachoamini Wachezaji wa Simba SC wanahitaji Psychological Counseling tena ya haraka mno.

Naomba hili lifanyike haraka sana tu.
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom