dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha uchokozi.
Wenzio wanataka mjadala kuwa lile goli la Yanga halikuvuka msitali, halafu wewe unataka kuleta habari za Simba ilifungwa chuma mbili kavu kweli mtaelewana?
Nao tuwajadili SAS kwanin amepigwaa nne kavuAcha uchokozi.
Wenzio wanataka mjadala kuwa lile goli la Yanga halikuvuka msitali, halafu wewe unataka kuleta habari za Simba ilifungwa chuma mbili kavu kweli mtaelewana?
Msitali??Acha uchokozi.
Wenzio wanataka mjadala kuwa lile goli la Yanga halikuvuka msitali, halafu wewe unataka kuleta habari za Simba ilifungwa chuma mbili kavu kweli mtaelewana?
Tukio la Jana yanga kupokwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna
Usipunguze magoli ni 4 ukijumlisha la ugeniniTukio la Jana yanga kupokwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna
Mpira uliisha dakika 90 yanga kwa kushinda goli 1 hayo mengine ni ya motsepe rais wa cuf na mmiliki wa mamelodiSasa si kila mtu kafa kivyake..yaani kutolewa kwenu kuwe kunatuhusu sisi... Au tuliwashika miguu msifunge penati.
Ila yanga ndoo imekuwacover kubwa why not SimbaSasa si kila mtu kafa kivyake..yaani kutolewa kwenu kuwe kunatuhusu sisi... Au tuliwashika miguu msifunge penati.
Coverage kubwa Ni yanga na siyo simbaWanasimba hatuna mambo mingi,, ,tunaganga yajayo
HahahaView attachment 2955529simba imepigwa bara na pwani
As if kwamba hawajcheza wako kimya sanView attachment 2955529simba imepigwa bara na pwani
Hahahaha poleni shukuruni snaa mnk leo tungewajadili sanaMtani alitufunikia shilingi
Washazoea kukomeshwa tabu ipo kwa wageni wa mashindano!Tukio la Jana yanga kupokwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna