Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Hawa jamaa wa umbumbuni leo wameifunga ruvu shooting goli 4 sasa tunajiuliza wao wametoa bahasha ya shingapi maana wakishinda wengine wanasema ni bahasha lakini wakishinda wao ni ushindi halali.
Hapo ndo unapopima akili za hawa jamaa na kugundua ni hamnazo, hawajielewi wala awajitambui na tunawakumbusha tu mzunguko wa pili mtakuwa ugenini kwa mechi nyingi na yanga atakuwa kwa mkapa kwa mechi nyingi ivyo nafikiri kimahesabu inajulikana ni nani anakwenda kubeba ndoo kwa mara nyingine na tutaendelea kushuhudia hat trick za mayele kwa mkapa kama kawaida.
Tunawapongeza kwa ushindi wa leo lakini muache ujinga na utahaira wa kubeza ubora wa wenzenu mtakuwa mnaumbuka kila siku
Hapo ndo unapopima akili za hawa jamaa na kugundua ni hamnazo, hawajielewi wala awajitambui na tunawakumbusha tu mzunguko wa pili mtakuwa ugenini kwa mechi nyingi na yanga atakuwa kwa mkapa kwa mechi nyingi ivyo nafikiri kimahesabu inajulikana ni nani anakwenda kubeba ndoo kwa mara nyingine na tutaendelea kushuhudia hat trick za mayele kwa mkapa kama kawaida.
Tunawapongeza kwa ushindi wa leo lakini muache ujinga na utahaira wa kubeza ubora wa wenzenu mtakuwa mnaumbuka kila siku