johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Michezo ni Siasa
Msemaji wa Simba SC mh Ahmed amesema si haki Serikali kuwasafirisha mashabiki wa Yanga kwenda kuishangilia Timu binafsi huko Africa kusini kwa kutumia fedha za walipakodi.
Ahmed amesema mashabiki wa Simba SC japo wanasafiri kwa mafungu kwenda Cairo lakini wamejigharamia Wenyewe na watarejea na Ushindi.
Mh Ahmed Ali amelialia ukurasani X.
Msemaji wa Simba SC mh Ahmed amesema si haki Serikali kuwasafirisha mashabiki wa Yanga kwenda kuishangilia Timu binafsi huko Africa kusini kwa kutumia fedha za walipakodi.
Ahmed amesema mashabiki wa Simba SC japo wanasafiri kwa mafungu kwenda Cairo lakini wamejigharamia Wenyewe na watarejea na Ushindi.
Mh Ahmed Ali amelialia ukurasani X.