Simba SC wasiposhinda mechi zao kwa AS Vita basi watatoka makundi na point 0

Hawa mapaka aka mikia fc juzi kati cindo walitatuliwa marinda kwa kutumia kile kipimo kipya kilichogunduliwa China?? Sasa unategemea kwa mtindo huo watashinda hata kwa hao As Vita kweli??

Onyo: #YangaDaimaMbeleMwikoNyuma.
 
Simba sc wasiposhinda mechi zao na al ahli watatoka na point 12 tuu😁
 
Comments na uzi kama huu wenzako walianzisha na wanazikimbia. Unachopaswa kujua ni kuwa, Simba kwenye Tournament huwa ni tofauti sana na mechi za matopeni ambazo Utooo ndiyo sizs yake. Mark my words, Simba itafika mbali.
 
Rudi uandike tena, Simba kapata point 3 ugenini. Kwenye mashindano makubwa Simba imemuacha mbali sana utoo, yaani ni mbigu na ardhi. Takwim ziko bayana, we unaona hata CAF wanaitambua Simba katika 13 bora za Vilabu barani Afrika. Utooo hata 40 bora sijamuona
 
Mtu kaandika uzi yeye halafu kaweka cc yeye[emoji3][emoji3] shikamoo utopolo
 
As I know which you are an Android consumer and putting in an AIO Downloader APK report is not a large deal for you, YoWhatsApp Download - Gbplus.Net but if you are putting in the first time you can use this approach, and also you have become harassed How it works aio Downloader App so you can follow it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…