Simba SC watangaza kuboresha kikosi kuelekea msimu mpya 2023/24

Hiki ni kikosi kizima wakibadili,
Lasivyo wanaenda kule walipotoka msinu ulopita
Onyango
Nyoni
Kapama
Okrah
Gadiel
Jimson
Sawadogo
Boko
Kennedy
Sako
Mosses
Banda
Hapana, hapo Phiri, Sakho, Jimmy, waendelee kusalia.
 
Mafanikio yapi ya Yanga ambayo Simba SC hakuyafikia? Hiyo paragraph ya mwisho atakuja kujibu mpiga vichwa kwangu imenishinda.
 
Okrah bonge moja la winga,mkimuacha itakuwa vizuri tuwaonyeshee matumizi yake.
Ni kweli lakini hana wakati nzuri Simba SC, nakuhakikishia kuwa anaondoka.
 
Yaani kikosi kibovu nusu wachezaji hawakai duùuu.....
 
Wangesuburia ligi iishe watimue nusu ya kikosi. Afu July waanze usajili.
Kinachofanyika leo ni kama kutaka zuia kitachofanyika Ikulu
Kinachofanyika ikulu kilipaswa kuzuia mengine yasiendelee?
 
Kinachofanyika ikulu kilipaswa kuzuia mengine yasiendelee?
Hii kauli hata Yanga wanayo sana, walisema kuwa kila Yanga ikikaribia game kubwa Feisal anahujumu kuhusu sakata lake.

Inashangaza sana, yaani kukiwa na jambo fulani, jambo lingine lisifanyike.
 
Hii kauli hata Yanga wanayo sana, walisema kuwa kila Yanga ikikaribia game kubwa Feisal anahujumu kuhusu sakata lake.

Inashangaza sana, yaani kukiwa na jambo fulani, jambo lingine lisifanyike.
Ni ujinga wa watanzania walio wengi, kwa style hii ingetokea wamechukua kombe nadhani wangeomba serikali isitishe huduma zote.

UJINGA TU.
 
Kwenye kuoffload msipokuwa makini mnatoa boko, Okrah,Phiri sio wa kuachwa hasa Okrah,mkimuacha natamani Nabi amuone.
Okrah ameachwa rasmi kwenye kikosi cha Simba SC baada ya kumalizika kwa mkataba wake.
 
Okrah ameachwa rasmi kwenye kikosi cha Simba SC baada ya kumalizika kwa mkataba wake.
Hii ni mistake ndugu zangu.

Okrah na Phiri hawa sio wa kuondoka,halafu yule Beleke sio wa kwenu watu wakifika dau la kumnunua Beleke ,Mazembe anamuuza na Mazembe sasa hivi ana struggle kujenga timu unaweza ukakuta wakajumuisha Beleke kwenye kikosi kipya.

Simba nafasi ya kwanza kuifanyia usajili wa haraka ni kipa,Manula kafanyiwa upasuaji mkubwa atakuwa nje kwa miezi mitatu au zaidi na kwenye mpira makipa wazuri wapo wachache kupata replacement ya Manula itakuwa kazi, mwezi wa nane super league inaanza,kipa namba mbili mshauza,mmebakia na dogo anaye tema mipira.
 
Sasa hela yote si itaishia kwenye kuvunja mikataba, kufanya replace ya wachezaji wote hao sio chini ya b 1.5 inahitajika bado hujawalipa mishahara
Hiki ni kikosi kizima wakibadili,
Lasivyo wanaenda kule walipotoka msinu ulopita
Onyango
Nyoni
Kapama
Okrah
Gadiel
Jimson
Sawadogo
Boko
Kennedy
Sako
Mosses
Banda
 
Sasa hela yote si itaishia kwenye kuvunja mikataba, kufanya replace ya wachezaji wote hao sio chini ya b 1.5 inahitajika bado hujawalipa mishahara
Vizur vina garama wakunali garama
 
Mbadala wa Okra sasa utasikia ni winga hatari wa Lyon sport ya Rwanda. Yaleyale ya Sibomana. Alafu eti mnaitaka finali ya caf thubutuu
 
Ulazima wa kutangaza upo, utajuaje kama si kuanza kutangaza maboresho ya Kikosi.
Maboresho ni given haitaji kutangaza kuwa unafanya maboresho kinachoitajika ni taarifa mwendelezo wa hayo maboresho, mfano Yanga wameshamalizana na wachezaji wakubwa wawili imebaki mambo machache sana lakini wala hatusemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…