Simba SC yaanzia kileleni ligi kuu, yairarua Ruvu shooting 7-0

Taarifa nilizopenyezewa hapa ni kwamba laiti Ruvu Shooting isingecheza mechi ya kirafiki na Yanga, haya yote yasingempata ....

Yanga Sc kucheza na Ruvu ilikuwa ni janja yakumwachi gundu Ruvu na kumwepusha Yanga na kipigo..
 
Omog mtoe Luzio Ndanda anatupunguzia magoli,tunataka goli 10
 
Imanuel Muhenga Hatriki Okwiiiiiiiiiiiiiiiii haya yalikuwa magoli ya Yanga
 
Khamsaa

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…