Watakua wana sonya tu mxieeeMusukule atakuwa anachungulia press conference kwa kuvizia
Kama namuona hivi!Watakua wana sonya tu mxieee
Izi raha mpaka zimenitoa chozi daaahHuyu bibie Barbara atatuua kwa raha sisi wanaSimba.
She's so good kwenye management, yaani hana makelele mengi, yeye ni deal after deal.
Rudia tena kusoma ulichoandikaWajinga ndio waliwao, hao ni wahindi wanaotakatisha pesa zao kupitia Simba. Mo na wale wahindi wake ni wajanja sana.
Simba kwa sasa ni kichaka cha kutakatishia pesa
Hizi ni tuhuma nzito sana mkuu. Money laundering.Wajinga ndio waliwao, hao ni wahindi wanaotakatisha pesa zao kupitia Simba. Mo na wale wahindi wake ni wajanja sana.
Simba kwa sasa ni kichaka cha kutakatishia pesa