Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
TANGU MWEZI AUGUST UANZE
Simba imecheza mechi 3 (St.George, Yanga na Geita)
Imeshinda mbili imefungwa moja
Imefunga goli 6 imefungwa goli 2.
Goal difference ni 4+.
Wachezaji 6 wamefunga (Kibu, Okwa, Sakho, Okrah, Phiri na Chama).
Yanga imecheza mechi 3 (Vipers, Simba na Polisi Tz)
Imeshinda mbili, imefungwa moja. SIMBA
Imefunga goli 4 imefungwa goli 4. Goli difference ni 0.
Wachezaji wawili tu wamefunga (Mayele na Mwamnyeto).
Lakini shabiki wa Simba anaaminishwa na shabiki wa Yanga kwamba Simba mbovu mno nae anaamini anaanza kuwatukana wachezaji, viongozi na makocha.
Kuna watu mmeipenda Simba kwa mkumbo hamuujui mpira.
Ni wakati wa kushangilia burudani zenu za kina Kiba na Diamond au Taarabu, Kwenye mpira mmevamia. Sio kila mchezo unaweza kuwa mchezo wako zingine acha zikupite.
Niamini mimi kabla hatujaelewana.
Simba imecheza mechi 3 (St.George, Yanga na Geita)
Imeshinda mbili imefungwa moja
Imefunga goli 6 imefungwa goli 2.
Goal difference ni 4+.
Wachezaji 6 wamefunga (Kibu, Okwa, Sakho, Okrah, Phiri na Chama).
Yanga imecheza mechi 3 (Vipers, Simba na Polisi Tz)
Imeshinda mbili, imefungwa moja. SIMBA
Imefunga goli 4 imefungwa goli 4. Goli difference ni 0.
Wachezaji wawili tu wamefunga (Mayele na Mwamnyeto).
Lakini shabiki wa Simba anaaminishwa na shabiki wa Yanga kwamba Simba mbovu mno nae anaamini anaanza kuwatukana wachezaji, viongozi na makocha.
Kuna watu mmeipenda Simba kwa mkumbo hamuujui mpira.
Ni wakati wa kushangilia burudani zenu za kina Kiba na Diamond au Taarabu, Kwenye mpira mmevamia. Sio kila mchezo unaweza kuwa mchezo wako zingine acha zikupite.
Niamini mimi kabla hatujaelewana.