Simba SC yapanda vilabu bora Afrika

Wath.enge wametuacha hawa lkn dawa yao ipo jikoni....mpanda ngazi hushuka
Kwa akili za mpanda ngazi hushuka HAMTOBOI, akishuka bila wewe kupanda atakukuta hukohuko chini wote mtakuwa chini, acha akili za kichawi, usiwaze Simba kushuka, jipange umfuate huko huko juu ukampite hukohuko juu, juu Hakunaga mwisho
 
Kwa akili za mpanda ngazi hushuka HAMTOBOI, akishuka bila wewe kupanda atakukuta hukohuko chini wote mtakuwa chini, acha akili za kichawi, usiwaze Simba kushuka, jipange umfuate huko huko juu ukampite hukohuko juu, juu Hakunaga mwisho
Tutapishana kwenye ngazi sio kesi....
wakati wanashuka sie tunapanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…