Simba SC yapewa ONYO na BMT kuhusu uvunjanji wa Katiba na Uongozi mbovu

Yaleyale ya Magoma, mkija kustuka mtakuta kumbe tayari kuna hukumu ya Mahakama iliyo mkabidhi timu Haji Manara.
 
Mambo ya Simba yanahatarishaje amani ya nchi??
 
Mleta barua ungetuletea na hayo Mambo 12.
Kinachoifelisha Simba ni katiba yake na uongozi mbovu.
Badala ya timu kwenda mbele inarudi nyuma.
 
VYURA FC BADO MNAPUMUA...TAFUTENI VINGINE HII HAITUSHTUI...
UBAYA UBWELA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…