Simba Sc yapunguza kiingilio mechi ya CAF CC

Simba Sc yapunguza kiingilio mechi ya CAF CC

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
FLOMPHqWUAETilv.jpeg

Kwa mapenzi makubwa kwa mashabiki wa timu hii kubwa zaidi nchini, Rais wa heshima, @moodewji amepunguza kiingilio cha eneo la Mzunguko kutoka Tsh. 5,000 hadi Tsh. 3,000.

Nunua sasa tiketi yako. #NguvuMoja
 
Sio mbaya buku mbili nilipia kule kwenye ujenzi buku tatu kiingilio,siwezi kupunguza bajeti yangu kwa Mnayama Simba.
 
Ata wafanye buku, ni ngumu watu kujitokeza kwa wingi wakati timuyao wanaiona Siya uhakika. Ingekuwa Marefa ni wanyumbani kidogo wangepata hamasa. Mimi nawaomba mashabiki mjitokeze ata Kama timu hairidhishi tutatumia mbinu yetu ya kupuliza dawa vyumbani.
 
Back
Top Bottom