Simba wapo sahihi.. ili utwae caf champions league lazima ubadilike.. uendeshe timu kisasa...
Enyimba waliachana na uswahili wakati wanabadilika..
Mamelodi hawana tabia za waswahili
Mazembe pia hawana tabia za waswahili
Huwezi kutaka uwe kigogo africa kwa kuendesha timu kienyeji .
Simba babra yupo very proffessional.. msimu huu wamekosea kidogo tu wavunje rekodi yao ya mafanikio.
Na hiyo kidogo ni kumdharau kaizer chiefs toka ratiba ya robo ilivyotoka.. wakaenda south kama picnic wakijua wameshapita