Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

Simba Sc yatoa tamko shombo la kocha wa Orlando

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220419_1755387767.jpg

278878689_2221216814703988_15655739129439458_n.jpg
 
Asante simba hiki ndicho nilikuwa nasubiri! Kiproffesional zaidi
 
CEO pia alitakiwa kuzijibu tuhuma zote alizozitoa huyo kocha ikiwemo;
  • Kupewa eskot ya Polisi mmoja
  • Simba kupewa Penat ya isiyo halali
  • Refa kutoenda kuchungulia kwenye VAR
 
Hivi ni Africa tu au mpaka ulaya? Mfano timu ya Chelsea ilipoenda Hispania wanategemea wenyeji wao ambao ni madrid washughulie mazingira ya usafiri, uwanja wa mazoezi na pa kulala? Yaani pamoja na utandawazi uliokuwepo bado timu zinamtegemea mwenyeji kweli. Au gharama zinalipwa na mwenyeji wake?
 
Kwa hatua waliyofikia SIMBA kwa sasa, waache mipasho. Halafu taarifa ya kiswahili, kwani mlengwa ni Yanga?
 
wewe ni mzima kweli?!Simba inahusikaje na maamuzi ya refa
Ndio ingejibu hivyo kama ulivyojibu wewe, maana ni sehemu ya tuhuma kwa Simba kuhonga Marefa.

Inawezekana walikuja na kupewa taarifa potofu juu ya michezo michafu na ndio maana wametumia mlango tofauti wa kuingilia vyumbani
 
Watu wanasema wawaache, hata me nasema hapana. Uongo ukiachwa unaweza dhaniwa kuwa ni ukweli. huyu kocha anatakiwa athibitishe tuhuma zake.
 
Zile shutuma za manara hazikuichafua simba peke yake, ziliichafua nchi pia. Na haya ndio matokeo yake, wageni wakija wanakuwa na mtazamo usiokuwa na afya juu ya vilabu vyetu na hata huduma za jamii kwa ujumla.
 
Simba yule kocha anatafuta kutotoa mchezoni...achaneni naye kipusa yule ...
Tuangalie mpambano wetu tunatoka vipi

Hili tamko nalo limetolewa kimkakati…!
Na mpango wa kumlipizia kisasi cha kutaka kuitoa simba mchezoni!
Kwa tamko hili ni kwamba mpango wake wa kutaka kuitoa simba mchezoni umefeli, ataenda kutoka yeye!
 
Back
Top Bottom