Simba SC yazindua jezi zake kwa msimu wa 2022/23, uzi mkali sana

Vunjabei atauza sana ndani ya hizi siku 7.
Kuanzia leo hadi siku ya siku ya game.
Najua kesho jezi zitakuwa mikoani tayari
Kesho zitakua mikoani haswaaaah.
Kwa hizi jezi. Vunja bei katusua mnooo.
 
Wabunifu wetu bado sana. Arsenal kwa jezi kali wako mbali sana
Sawa mzeee ila jessy kuvaa ni hobby ya mtu hata kama ni mbaya au nzuri anavaaa tu, we vaaa tu za arsenal maana nazo zina wekundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…