Simba sikieni, Mchukueni Kaze!

Wakuu,

Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu!

Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana!

Nawakilisha ...
Amsaidie Poulsen, kocha wa timu ya taifa
 
Wakuu,

Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu!

Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana!

Nawakilisha ...
Msimsahau na Nizar
 
Hii nafasi ya kurugenzi ya ufundi wakati mwingine majukumu yake huingiliana na ya kocha mkuu, naona bora asepe tu, asijekutuletea vurugu kwetu kumepoa.
Mkuu leo nimekuelewa ila umekosea kidogo tu utabiri wako
 
Wadau wanauliza unacho sema ni kizuri kweli.
 
Wakuu,

Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu!

Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana!

Nawakilisha ...
Labda tumpe u20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…