Simba Sports Club: It is now or never!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Mimi si shabiki wa Simba. Ni wa Yanga. Lakini, nawiwa kuwashauri watani wetu wa jadi. Nawashauri mwaka huu wakaze uzi hadi wanyakue ubingwa wa ligi kuu.

Maana, tayari wamesharudi mchangani na inasemwa kuwa wamejiandikisha kwenye Ndondo Cup wakiiacha Yanga aka wa Kimataifa wakiwa kwenye Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Mwaka huu iwe isiwe Simba awe bingwa. Maana, kwakuwa ameshatolewa kwenye FA Cup, akikosa ubingwa hatapanda ndege tena mwakani.

Simba, lindeni alama zenu mnazotuzidi ili muwe Mabingwa. Sisi Yanga sasa tumeshachoka kuwa Mabingwa kila mwaka. It is now or never!
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
ubingwa tunaanza kuutangaza pale tunapochukua points zetu tatu, tukianza na vyura fc,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…