Simba Sports hawana kocha

Galiwusa

New Member
Joined
May 6, 2017
Posts
2
Reaction score
2
Simba sports hawana bahati ya kupata makocha wazuri kama ilivyo kwa Yanga. Wamekuwa wakiajiri makocha wabovu hata huyu aliyepo sasa Patrick Aussens. Ni kocha gani ambaye ujio wake haubadilishi uchezaji wa wachezaji. Kila mchezaji anacheza kama alivyokuwa akicheza kabla kocha hajaletwa. Na kwa huyu Patrick Aussens Simba hawatafika popote na hata ubingwa wa ligi kuu wausahau kabisa
 
Wanajangwani mshaanza kumuogopa,maana mnajua mkikutana naye lazima mpaki basi.
 
Umeshindwa kujenga hoja. Unaposema Yanga huwa wanapata makocha wazuri ok, wameifikisha Yanga wap kimataifa? Pili kwa ubaya wa makocha hao hao wa Simba walau kuna kitu kinafikiwa. Mfano mzr ni huu, miaka mitatu yanga imekuwa bingwa wa Tz bara hata hatua ya makundi haijafka sjui hao makocha wazuri wamefanya nn utueleze kdgo.

Mwisho duniani kote hakuna timu isiyofungwa. Manchester City BINGWA WA EPL msimu wa mwaka jana tayari imeshakubali vipigo. Huo ndio mpira, una matokeo ya aina tatu. HUTAKI SIKULAZIMISHI
Sent using Jamii Forums mobile app
 
U Uzuri wa makocha wa Yanga ni ndoo 28 za TPL. Anayefuatia ana ndoo 19. Ni tofauti kubwa na ya msingi.
 
Vp mashindano mengine yanayohusisha timu za Tanzania na zile za nje ya Tanzania km vile sport pesa, kagame na klabu bingwa Africa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Club bingwa ya Afrika. Suala si kufika wapi. Ni kuchukua ubingwa. Zaidi ya Club ya South Africa na DRC nani kachukua ukanda wetu? Tunawasindikiza Afrika Magharibi na Kaskazini.
 
KUMBE UFATILII NA HUTAKI KUUJUA MPIRA. Hv unaweza nitajia timu zilizowahi kuwa champion ktk EPL? Ndio mana yakaitwa mashindano.

Gor Mahia wameshafanya hayo mambo. Shida yko huupendi mpira unapenda UBISHI
Club bingwa ya Afrika. Suala si kufika wapi. Ni kuchukua ubingwa. Zaidi ya Club ya South Africa na DRC nani kachukua ukanda wetu? Tunawasindikiza Afrika Magharibi na Kaskazini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana. Hao wanaopata makocha wazuri hawafiki popote na wakija hapa bongo hawajawahi kuihenyesha simba.
Hakumbuki kuwa Milovan Circkovic aliwafunga 5-0 2012
Patrick phiri alichukua ubingwa bila kufungwa msimu wa 2010 huko Ndala kunakipi walichofanikiwa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUMBE UFATILII NA HUTAKI KUUJUA MPIRA. Hv unaweza nitajia timu zilizowahi kuwa champion ktk EPL? Ndio mana yakaitwa mashindano.

Gor Mahia wameshafanya hayo mambo. Shida yko huupendi mpira unapenda UBISHI

Sent using Jamii Forums mobile app
Gor Mahia champion wa Afrika mwaka gani?
EPL historical champion ni Man U kwa sasa. Kamzidi Liverpool ndoo moja 19 kwa 18.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…