Habari wadau,
Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba.
Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA.
Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni pride sana, yaani timu zinachezea pride.
Ukiwa away hata uwe na timu kali vipi, unashambuliwa kama mwizi na kama hauko vizuri kisaikolojia unafungwa nyingi.
Simba kilichobaki iwekeze kwenye saikojiaza wachezaji, ikiwezekana wawe na mtaalamu wa kuwaongoza saikolojia.
Maana simba bila saikolojia haiwez pata hata sare mjini casablanca kwenye mechi na waydad ama raja Casablanca. Simba haiwezi pata matokeo mjini aba kwenye mechi na enyimba pale Enyimba Stadium katikati ya Igboland, Aba State, (maana wenye Enyimba ni kabila kubwa Nigeria wa Igbo na uwanja wao wa nyumbani upo kijijini kwao)
Ni sawa una mechi na Wazaramo harafu mechi unaicheza msanga ama Wakurya mechi inachezwa Tarime nyamwaga) Simba haiwez pata hata sare pale mjini Pritoria kwenye Lucas Moripe Stadium kwenye mechi na Memelodi Sundown, bila saikolojia siioni Smba ikipata hata sare pale mjini Lubambashi katika uwanja wa Kamarondo kwenye mechi na TP Mazembe.
Bila kusahau mjini Tunis nyumbani kwa Esperence. Pia kuna Misri nyumbani wa Al Ahly bila kusahau Asec Mimosas, Canon Younde, Horoya Guinea na kwingine kwingi. Bila saikolojia ya wachezaji nzuri, Simba atapata shida sana away games.
Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba.
Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA.
Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni pride sana, yaani timu zinachezea pride.
Ukiwa away hata uwe na timu kali vipi, unashambuliwa kama mwizi na kama hauko vizuri kisaikolojia unafungwa nyingi.
Simba kilichobaki iwekeze kwenye saikojiaza wachezaji, ikiwezekana wawe na mtaalamu wa kuwaongoza saikolojia.
Maana simba bila saikolojia haiwez pata hata sare mjini casablanca kwenye mechi na waydad ama raja Casablanca. Simba haiwezi pata matokeo mjini aba kwenye mechi na enyimba pale Enyimba Stadium katikati ya Igboland, Aba State, (maana wenye Enyimba ni kabila kubwa Nigeria wa Igbo na uwanja wao wa nyumbani upo kijijini kwao)
Ni sawa una mechi na Wazaramo harafu mechi unaicheza msanga ama Wakurya mechi inachezwa Tarime nyamwaga) Simba haiwez pata hata sare pale mjini Pritoria kwenye Lucas Moripe Stadium kwenye mechi na Memelodi Sundown, bila saikolojia siioni Smba ikipata hata sare pale mjini Lubambashi katika uwanja wa Kamarondo kwenye mechi na TP Mazembe.
Bila kusahau mjini Tunis nyumbani kwa Esperence. Pia kuna Misri nyumbani wa Al Ahly bila kusahau Asec Mimosas, Canon Younde, Horoya Guinea na kwingine kwingi. Bila saikolojia ya wachezaji nzuri, Simba atapata shida sana away games.