Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Miaka minne nyuma hawa utopolo walikuwa sio chochote sio lolote kwa simba, tuliwatania kila aina ya matusi na kejeli, mara bakuli fc, mara utopwinyo fc, mara kabwili fc n.k
Haya matusi na kejeli yaliwapa hasira na nguvu za kuamka kutoka usingizi wa pono, wakafanya uchaguzi kwa kuchagua viongozi wazuri wenye maono ya mpira na kiu ya mafanikio.
Hawakuishia hapo , wakaanza kufanya sajili nzuri sana tena za kimkakati, and the rest is history
Waswahili wanasema mtu mzima ukivuliwa nguo chutama. Simba tuachane na kuwekeza kwenye hamasa na propaganda, Mpira unachezwa hadharani na kila mtu anauona.
Haya matusi na kejeli yaliwapa hasira na nguvu za kuamka kutoka usingizi wa pono, wakafanya uchaguzi kwa kuchagua viongozi wazuri wenye maono ya mpira na kiu ya mafanikio.
Hawakuishia hapo , wakaanza kufanya sajili nzuri sana tena za kimkakati, and the rest is history
Waswahili wanasema mtu mzima ukivuliwa nguo chutama. Simba tuachane na kuwekeza kwenye hamasa na propaganda, Mpira unachezwa hadharani na kila mtu anauona.