Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Wakupe Mo energy moja nakuja kulipa.Miaka minne nyuma hawa utopolo walikuwa sio chochote sio lolote kwa simba, tuliwatania kila aina ya matusi na kejeli, mara bakuli fc, mara utopwinyo fc, mara kabwili fc n.k
Haya matusi na kejeli yaliwapa hasira na nguvu za kuamka kutoka usingizi wa pono, wakafanya uchaguzi kwa kuchagua viongozi wazuri wenye maono ya mpira na kiu ya mafanikio.
Hawakuishia hapo , wakaanza kufanya sajili nzuri sana tena za kimkakati, and the rest is history
Waswahili wanasema mtu mzima ukivuliwa nguo chutama. Simba tuachane na kuwekeza kwenye hamasa na propaganda, Mpira unachezwa hadharani na kila mtu anauona.
Hichi kichaka pia tunakwenda kukichoma Moto tunatinga nusu fainali, save hii post for future reference, tumedhamiria hatuna utani.Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Hizo ni data zinazo jumuisha nyakati zilizo pita kipindi tunafanya vizuri. Ongelea sasa,simba haifai. ijipange upyaAngalia rank za caf urudi kuandika tena
Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Naheshimu mawazo yako mkuu, lakini ili Simba isonge mbele kuna step inabidi tuchukue. Viongozi wenye vision wanaitajika hawa waliopo uwezo wao umefika mwishoAngalia rank za caf urudi kuandika tena
Rank za CAF kwasasa Simba na Yanga zimepishana point 8 tu Simba ina point 39 huku Yanga 31. Yanga ilikuwa ni ya 75 huko alipitwa hadi na Namungo lakini ndani ya misimu miwili wamepunguza gap na wasipoangalia wanaenda ku level au kupitwa kwa point za CAF ranking.Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Nakazia..akikujibu nitagAngalia rank za caf urudi kuandika tena
Rank zinatoka kwenye historia na siyo hali ya sasa..!!Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Ndio kombe gani hilo? By the way Yanga imekusanya points 30+ ndani ya miaka miwili wewe umekusanya points 30+ ndani ya miaka 6Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Sasa hivi kile kichaka cha robo fainali hamjifichii nacho tena mmehamia kwenye kichaka cha point na muda si mrefu tunakifyeka.Angalia rank za caf urudi kuandika tena
HakikaMiaka minne nyuma hawa utopolo walikuwa sio chochote sio lolote kwa simba, tuliwatania kila aina ya matusi na kejeli, mara bakuli fc, mara utopwinyo fc, mara kabwili fc n.k
Haya matusi na kejeli yaliwapa hasira na nguvu za kuamka kutoka usingizi wa pono, wakafanya uchaguzi kwa kuchagua viongozi wazuri wenye maono ya mpira na kiu ya mafanikio.
Hawakuishia hapo , wakaanza kufanya sajili nzuri sana tena za kimkakati, and the rest is history
Waswahili wanasema mtu mzima ukivuliwa nguo chutama. Simba tuachane na kuwekeza kwenye hamasa na propaganda, Mpira unachezwa hadharani na kila mtu anauona.
kwani msimamo wa NBC upoje...Angalia rank za caf urudi kuandika tena
Na kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, yale MAVUNO ya miaka ya nyuma, hayatahesabiwa, kutokana na idadi ya miaka inayohesabiwa kutoka hapa, kurudi nyuma. Hivyo, hii nafasi iliyopo Simba huko CAF, ni mavuno mazuri ya miaka iliyopita.Rank zinatoka kwenye historia na siyo hali ya sasa..!!
Na hali ya leo itaonekana kwenye ranks siku za mbeleNa kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, yale MAVUNO ya miaka ya nyuma, hayatahesabiwa, kutokana na idadi ya miaka inayohesabiwa kutoka hapa, kurudi nyuma. Hivyo, hii nafasi iliyopo Simba huko CAF, ni mavuno mazuri ya miaka iliyopita.