Simba tukijipanga tutaenda nusu fainali

Simba tukijipanga tutaenda nusu fainali

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Simba tukifanya mabadiliko kwa beki yetu tunaweza kufika mbali. Mimi naombea tupewe mamelodi. Kama Al Hilal waliweza kufungwa goli moja na mamelodi pia wakatoa sare nyumbani why not Simba?. Simba kucheza na Mamelodi ni advantange kwetu kuliko kupewa Waarabu. Warabu ni shida kwetu wanasimba lakini pia muda tunaochezeshwa tukienda kwaooo ni kiama.

Simba inahtaji beki mfia timu, Saido pia inabidi achezeshwe pembeni ili Chama arudi namba 10 tukianza mechi za robo fainali.

Inshallah simba tutavuka this time. Robo fainali imekuwa jambo la kawaida sana.
 
SIMBA tukifanya mabadiliko kwa beki yetu tunaweza kufika mbali. Me naombea tupewe mamelodi. Kama AL HILAL waliweza kufungwa goli moja na mamelodi pia wakatoa sare nyumbani why not SIMBA. Simba kucheza na mamelodi ni advantange kwetu kuliko kupewa WAARABU. Warabu ni shida kwetu wanasimba lakini pia muda tunaochezeshwa tukienda kwaooo ni KIAMA.

SIMBA INAHTAJI BEKI MFIA TIMU, SAIDO pia inabd achezeshwe pembeni....ili CHAMA arudi namba 10 tukianza mechi za ROBO FAINALI.

INSHALLAH SIMBA TUTAVUKA THIS TIME. ROBO FAINALI IMEKUWA JAMBO LA KAWAIDA SANA
Wewe ni mjinga sana, Mamelodi waliacha Al hilal washinde kwao Sudan wakachemka wenyewe tu.

Ile mechi Mamelodi wangekwenda kiushindani Al hilal angekufa zaidi ya goli 3 nyumbani kwake.

Hilo kombe mwaka huu wanachukuwa Mamelodi.
 
SIMBA tukifanya mabadiliko kwa beki yetu tunaweza kufika mbali. Me naombea tupewe mamelodi. Kama AL HILAL waliweza kufungwa goli moja na mamelodi pia wakatoa sare nyumbani why not SIMBA. Simba kucheza na mamelodi ni advantange kwetu kuliko kupewa WAARABU. Warabu ni shida kwetu wanasimba lakini pia muda tunaochezeshwa tukienda kwaooo ni KIAMA.

SIMBA INAHTAJI BEKI MFIA TIMU, SAIDO pia inabd achezeshwe pembeni....ili CHAMA arudi namba 10 tukianza mechi za ROBO FAINALI.

INSHALLAH SIMBA TUTAVUKA THIS TIME. ROBO FAINALI IMEKUWA JAMBO LA KAWAIDA SANA
Timu gani ya South Africa msha wahi itoa,?
 
SIMBA tukifanya mabadiliko kwa beki yetu tunaweza kufika mbali. Me naombea tupewe mamelodi. Kama AL HILAL waliweza kufungwa goli moja na mamelodi pia wakatoa sare nyumbani why not SIMBA. Simba kucheza na mamelodi ni advantange kwetu kuliko kupewa WAARABU. Warabu ni shida kwetu wanasimba lakini pia muda tunaochezeshwa tukienda kwaooo ni KIAMA.

SIMBA INAHTAJI BEKI MFIA TIMU, SAIDO pia inabd achezeshwe pembeni....ili CHAMA arudi namba 10 tukianza mechi za ROBO FAINALI.

INSHALLAH SIMBA TUTAVUKA THIS TIME. ROBO FAINALI IMEKUWA JAMBO LA KAWAIDA SANA
Simba huwa wana tatizo la kuangalia mtu badala ya mahitaji ya timu. Outtara achukue nafasi ya Onyango, na Saido aanzie benchi. Outtara ni mchezaji anayecheza kwa akili zaidi na ni mtu wa kupeleka mipira mbele.

Kuna mtu alihoji jambo juzi hapa kuhusu Saido Ntibanzokiza limenifikirisha sana. Mbona pamoja na uchezaji wake wa kiwango cha chini katika mechi nyingi, inakuwa shida kumtoa sub? Au mategemeo yalikuwa makubwa kwake hadi mkataba wake ukamhakikishia dakika 80+ katika kila mchezo? Uwepo wake mchezoni unaifanya Simba kama icheze na mtu moja pungufu. Anaua movement nyingi za timu.
 
Simba huwa wana tatizo la kuangalia mtu badala ya mahitaji ya timu. Outtara achukue nafasi ya Onyango, na Saido aanzie benchi. Outtara ni mchezaji anayecheza kwa akili zaidi na ni mtu wa kupeleka mipira mbele.

Kuna mtu alihoji jambo juzi hapa kuhusu Saido Ntibanzokiza limenifikirisha sana. Mbona pamoja na uchezaji wake wa kiwango cha chini katika mechi nyingi, inakuwa shida kumtoa sub? Au mategemeo yalikuwa makubwa kwake hadi mkataba wake ukamhakikishia dakika 80+ katika kila mchezo? Uwepo wake mchezoni unaifanya Simba kama icheze na mtu moja pungufu. Anaua movement nyingi za timu.
Saido ni mzuri akicheza na Prison
 
Wewe ni mjinga sana, Mamelodi waliacha Al hilal washinde kwao Sudan wakachemka wenyewe tu.

Ile mechi Mamelodi wangekwenda kiushindani Al hilal angekufa zaidi ya goli 3 nyumbani kwake.

Hilo kombe mwaka huu wanachukuwa Mamelodi.
Yaani Mamelodi aliambulia ushindi kiduchu wa 1-0 akiwa kwao South Africa wakati alikuwa bado mapema akihitaji sana ushindi,ndo aje apate kushinda 3-0 ugenini,hesabu za Mpira huwa haziko hivyo it is about realities inategemea umejipangaje na situation ya mechi husika
 
Wewe ni mjinga sana, Mamelodi waliacha Al hilal washinde kwao Sudan wakachemka wenyewe tu.

Ile mechi Mamelodi wangekwenda kiushindani Al hilal angekufa zaidi ya goli 3 nyumbani kwake.

Hilo kombe mwaka huu wanachukuwa Mamelodi.


Mechi ya kwanza ya group stage Mamelodi akiwa na 0 pts alicheza na Al hilal. Tena ilichezwa south africa.

Mamelodi alimfunga Al hilal kwa ushindi mwembamba wa 1 - 0

Je na hiyo mechi ya kwanza kabisa kwa timu zote Mamelodi alimuachia Al hilal ?
 
Yaani Mamelodi aliambulia ushindi kiduchu wa 1-0 akiwa kwao South Africa wakati alikuwa bado mapema akihitaji sana ushindi,ndo aje apate kushinda 3-0 ugenini,hesabu za Mpira huwa haziko hivyo it is about realities inategemea umejipangaje na situation ya mechi husika
Mimi mwenyewe sidhani kama Mamelodi hawakutaka kushinda mechi ile. Al Hilal nilikuwa nasema juzi hapa, ni timu inayojua sana kujilinda ila haina uwezo sana kwenye ushambuliaji. Ukiwaangalia toka mechi na Yanga, imekuwa inacheza hivyo hivyo.
 
Mamelodi ndio timu nyepesi kucheza nayo kwenye robo fainali kuliko timu zingine zote ambazo zimeongoza makundi yao msimu huu.

Mamelodi huwa sio mzuri kwenye hatua za robo fainali na hata mwaka ambao alitwaa ubingwa wa africa mwaka 2016. Robo fainali Mamelodi alishindwa kupita kwa matokeo ya uwanjani. Bali alipitishwa na caf kwa ajili ya kumpa adhabu As vita kwa ujinga wake wa kumchezesha mchezaji ambaye hajamaliza adhabu.
 
Saido ni mzuri akicheza na Prison
Saido ni mchezaji mzuri ila ana tatizo la kutaka kukaa sana na mpira wakati uwezo wake wa kuulinda mpira na kuugawa kwa usahihi siyo wa kuridhisha.

Nikikupa mfano mdogo wa Denis Kibu alipokuwa analalamikiwa sana ilikuwa ni kwa sababu alikuwa anataka kufanya mambo mengi akipata mpira. Alipoanza tu kuwa mtu wa kupokea na hapo hapo anatoa, kelele zikaisha na unaona sasa hivi anajaribu kuongeza tuvitu fulani kidogo kidogo maana issue yake ilikuwa zaidi psychological.

Saido ni hivyo hivyo, arudi kwanza acheze simple football, mambo yakianza kumuendea vizuri ndiyo aongeze sasa taratibu hayo mengine. Ninachompendea anapenda mpira wa speed.
 
Wewe ni mjinga sana, Mamelodi waliacha Al hilal washinde kwao Sudan wakachemka wenyewe tu.

Ile mechi Mamelodi wangekwenda kiushindani Al hilal angekufa zaidi ya goli 3 nyumbani kwake.

Hilo kombe mwaka huu wanachukuwa Mamelodi.
Una ichukulia poa raja Casablanca eeh??
 
Saido ni mchezaji mzuri ila ana tatizo la kutaka kukaa sana na mpira wakati uwezo wake wa kuulinda mpira na kuugawa kwa usahihi siyo wa kuridhisha.

Nikikupa mfano mdogo wa Denis Kibu alipokuwa analalamikiwa sana ilikuwa ni kwa sababu alikuwa anataka kufanya mambo mengi akipata mpira. Alipoanza tu kuwa mtu wa kupokea na hapo hapo anatoa, kelele zikaisha na unaona sasa hivi anajaribu kuongeza tuvitu fulani kidogo kidogo maana issue yake ilikuwa zaidi psychological.

Saido ni hivyo hivyo, arudi kwanza acheze simple football, mambo yakianza kumuendea vizuri ndiyo aongeze sasa taratibu hayo mengine. Ninachompendea anapenda mpira wa speed.
Saido umri umeshamtupa mkono.
 
Yaani Mamelodi aliambulia ushindi kiduchu wa 1-0 akiwa kwao South Africa wakati alikuwa bado mapema akihitaji sana ushindi,ndo aje apate kushinda 3-0 ugenini,hesabu za Mpira huwa haziko hivyo it is about realities inategemea umejipangaje na situation ya mechi husika
Mbona unajichanganya tena mwenyewe? Simba alichapwa na Raja 3-0 Dar ambapo ni kwao Simba lkn kule Casablanca ambapo ni kwa Raja, Simba akapata nafuu na akabamizwa 3-1.

Kuna mambo mengi kwenye matokeo ya mpira na timu ikikuzidi pia unaweza kupigwa mechi zote mbili kama Simba alivyopigwa na Raja.

So take care my friend.
 
Simba tukifanya mabadiliko kwa beki yetu tunaweza kufika mbali. Mimi naombea tupewe mamelodi. Kama Al Hilal waliweza kufungwa goli moja na mamelodi pia wakatoa sare nyumbani why not Simba?. Simba kucheza na Mamelodi ni advantange kwetu kuliko kupewa Waarabu. Warabu ni shida kwetu wanasimba lakini pia muda tunaochezeshwa tukienda kwaooo ni kiama.

Simba inahtaji beki mfia timu, Saido pia inabidi achezeshwe pembeni ili Chama arudi namba 10 tukianza mechi za robo fainali.

Inshallah simba tutavuka this time. Robo fainali imekuwa jambo la kawaida sana.
nini? huu ni wehu
 
Back
Top Bottom