Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kama mtanzania mpenda utaifa
Sioni simba kupita kwenye mechi ijayo.
Nashauri kuna nyuki zinatokea kila mara mechi gwambina tunaweza waa,zima kwa mda kwenye mechi yetu na kuwarudisha.
Otherwise tumwombe dk mwamposa afanye maombi sikumoja kabla ya mechi na wachezaji wapakwe mafuta miguuni tuweze pata magoli yote.
Mwisho nawatakia kila la kheri msiogope ninyi ni washindi.
Sioni simba kupita kwenye mechi ijayo.
Nashauri kuna nyuki zinatokea kila mara mechi gwambina tunaweza waa,zima kwa mda kwenye mechi yetu na kuwarudisha.
Otherwise tumwombe dk mwamposa afanye maombi sikumoja kabla ya mechi na wachezaji wapakwe mafuta miguuni tuweze pata magoli yote.
Mwisho nawatakia kila la kheri msiogope ninyi ni washindi.