Chura tuliza mshono mzulu anatolewa fresh tu kwa mpira wa miguuni,hayo ya ndumba tuwaachie Yanga na mashosti zao Kaizer ChiefsKama mtanzania mpenda utaifa
Sioni simba kupita kwenye mechi ijayo.
Nashauri kuna nyuki zinatokea kila mara mechi gwambina tunaweza waa,zima kwa mda kwenye mechi yetu na kuwarudisha.
Otherwise tumwombe dk mwamposa afanye maombi sikumoja kabla ya mechi na wachezaji wapakwe mafuta miguuni tuweze pata magoli yote.
Mwisho nawatakia kila la kheri msiogope ninyi ni washindi.
Huu ushauri ulishindwa kuwapa timu yako ya utopolo walipocheza na NamungoKama mtanzania mpenda utaifa
Sioni simba kupita kwenye mechi ijayo.
Nashauri kuna nyuki zinatokea kila mara mechi gwambina tunaweza waa,zima kwa mda kwenye mechi yetu na kuwarudisha.
Otherwise tumwombe dk mwamposa afanye maombi sikumoja kabla ya mechi na wachezaji wapakwe mafuta miguuni tuweze pata magoli yote.
Mwisho nawatakia kila la kheri msiogope ninyi ni washindi.