kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Simba msikariri kuwa yanga kimataifa ni sawa sawa na Mbeya kwanza sijui kimataifa hatuna lolote sawa tumekubali hatuna lolote.
Naombeni mtambuwe yanga ya sasa sio ile yanga wa zamani
Kumbukeni hata last season mlisema kuwa ongozeni league tu tunajua wapi pakuchukulia ubingwa mipango yenu ikafeli.
Mkabaki kusema sijui sisi tunajua ubingwa wa michongo sijui sisi wachawi sana maneno yakawa mengi
Ila tambuweni kimataifa sisi yanga hatuna experiance yeyote kama mnavyo sema ninyi.
Lakini tuna wachezaji wenye experiance na mashindano hayo akina djuma, mayele na wengine wote wana experiance kwa hiyo ni moto kwenda mbele
Naombeni mtambuwe yanga ya sasa sio ile yanga wa zamani
Kumbukeni hata last season mlisema kuwa ongozeni league tu tunajua wapi pakuchukulia ubingwa mipango yenu ikafeli.
Mkabaki kusema sijui sisi tunajua ubingwa wa michongo sijui sisi wachawi sana maneno yakawa mengi
Ila tambuweni kimataifa sisi yanga hatuna experiance yeyote kama mnavyo sema ninyi.
Lakini tuna wachezaji wenye experiance na mashindano hayo akina djuma, mayele na wengine wote wana experiance kwa hiyo ni moto kwenda mbele