Uko sahihiKushindwa kuachana na Wachezaji wenye umri mkubwa ambao ubunifu na kasi ya mchezo imepungua kunapelekea kutokuwa na matokeo mazuri.
Huna akili,kama unataka kufa kufa pia.Nikikumbuka tulijaribu kwenda caf federection cup nako pia tukaishia hapa hapa
Naomba mniache nilie tu msinibembeleze
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]
Hata angekuwa wewe kweli tayari jina la kocha ni robotinho
Lakini matumaini uliweka tu
Tusajili ndio ila Simba imeonyesha kiwango kizuri sana. Na impact yake itaonekana. Mechi ya kujilaumu ni mechi ya Raja. Ile ilikuwa aibu.1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.
2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.
3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.
I. Okrah.
II. Sawadogo.
III. Banda ( NO 9)
IV. Sackho.. atupishe.
V. Kanute atafutiwe mbadala.
VI. Ottara.
SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI
hapana sio nuksi ni jinsi mlivyojitayarisha tu,mwakani jipangeni upya msajili wachezaji wenye uwezoNikikumbuka tulijaribu kwenda caf federection cup nako pia tukaishia hapa hapa
Naomba mniache nilie tu msinibembeleze
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]
Hata angekuwa wewe kweli tayari jina la kocha ni robotinho
Lakini matumaini uliweka tu
RoboNtinyo [emoji28][emoji24][emoji24]Nikikumbuka tulijaribu kwenda caf federection cup nako pia tukaishia hapa hapa
Naomba mniache nilie tu msinibembeleze
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]
Hata angekuwa wewe kweli tayari jina la kocha ni robotinho
Lakini matumaini uliweka tu
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.
2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.
3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.
I. Okrah.
II. Sawadogo.
III. Banda ( NO 9)
IV. Sackho.. atupishe.
V. Kanute atafutiwe mbadala.
VI. Ottara.
SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI
Nikikumbuka tulijaribu kwenda caf federection cup nako pia tukaishia hapa hapa
Naomba mniache nilie tu msinibembeleze
[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]
Hata angekuwa wewe kweli tayari jina la kocha ni robotinho
Lakini matumaini uliweka tu
Baba Ako anayo.?????Anzisheni Team yenu