Simba tunashinda Morocco

Ilo jambo liko wazi kabsa
 
Hapo umeongea,tuna uhifazi uzi wako tutaurudia.
 
Mpira sio maigizo Wala kupiga ramli, leta sababu za kiufundi na kimbinu zitakazokufanya upate matokeo, kuongea tu kwakuwa umeshiba kande za njugu mawe aifanyi timu yako iwe Bora ndani ya siku moja Wala mbili, ukikosea kwenye kipindi Cha usajili unakuwa umejimaliza na Simba ilishajimaliza kipindi icho ivyo mategemeo Kama Aya ya ndoto za alinacha yanabaki kwa mashabiki wasioulewa mpira wa miguu unaochezwa hadharani!
 
We uliyefanikiwa kwenye usajili msimamo wa kundi lenu upo mkiani ,shubammit!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…