Simba tupeleke kileleni leo, inshaallah

Simba tupeleke kileleni leo, inshaallah

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Ewe mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, mwenye majina tisini na Tisa, ulisema niombeni nitawapa, sisi tunakuomba utujaalie ushindi leo uwanja wa Taifa dhidi rangi ya mitume.

Sisi sio wale waliokukufuru na kudiriki kusema kuwa wana uwezo wa kucheza na shetani au malaika, sisi ni waja wako wacha mungu ambao tunaamini bila wewe ushindi haupatikani.

Ewę mwenyezi mungu, wa kuleta furaha leo ni wewe tu na wala sio mwingine, sisi tumezuiwa kwenda uwanjani lkn uongozi wetu umetuandalia sehemu ya kukutana na kuiangalia gemu hiyo.

Inshalllah leo tutashinda
 
Ewe mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, mwenye majina tisini na Tisa, ulisema niombeni nitawapa, sisi tunakuomba utujaalie ushindi leo uwanja wa Taifa dhidi rangi ya mitume.

Sisi sio wale waliokukufuru na kudiriki kusema kuwa wana uwezo wa kucheza na shetani au malaika, sisi ni waja wako wacha mungu ambao tunaamini bila wewe ushindi haupatikani.

Ewę mwenyezi mungu, wa kuleta furaha leo ni wewe tu na wala sio mwingine, sisi tumezuiwa kwenda uwanjani lkn uongozi wetu umetuandalia sehemu ya kukutana na kuiangalia gemu hiyo.

Inshalllah leo tutashinda
Aombaye hupewa, na umepewa!
 
Ewe mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, mwenye majina tisini na Tisa, ulisema niombeni nitawapa, sisi tunakuomba utujaalie ushindi leo uwanja wa Taifa dhidi rangi ya mitume.

Sisi sio wale waliokukufuru na kudiriki kusema kuwa wana uwezo wa kucheza na shetani au malaika, sisi ni waja wako wacha mungu ambao tunaamini bila wewe ushindi haupatikani.

Ewę mwenyezi mungu, wa kuleta furaha leo ni wewe tu na wala sio mwingine, sisi tumezuiwa kwenda uwanjani lkn uongozi wetu umetuandalia sehemu ya kukutana na kuiangalia gemu hiyo.

Inshalllah leo tutashinda
Aiseee,unyenyekevu mzuri,mmeshinda
 
Kila ligi Simba anakaa kileleni. Hata wakianzisha ligi ya kuku, Simba itakaa kileleni
 
IMG-20250119-WA0034.jpg
 
Back
Top Bottom