Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Kwa wale wanaingia viwanjani, waliokua wanaona jinsi Maguri alikua akiikosesha mabao Simba, na sote tulikua tukimlaumu.
Sidhani Ni kosa klabu kumwacha nchezaji ambae hafanyi vizuri, alafu maguri huwezi mfananisha na Tambwe, Tambwe aliondolea figisu figisu Tu.
ILA Maguri tulikua tunamlaumu Sana kiwanjani.
Sidhani Ni kosa klabu kumwacha nchezaji ambae hafanyi vizuri, alafu maguri huwezi mfananisha na Tambwe, Tambwe aliondolea figisu figisu Tu.
ILA Maguri tulikua tunamlaumu Sana kiwanjani.