Hata kama pengo la chama na miquisoni lipo ila tatizo lilipo sasa ni striker simba walitengeneza nafasi nyingi walishindwa kuzitumia hata mechi ya tp mazembe ilikuwa hvyo hvyo clear chances tatu zote mugalu kapoteza.Kwa mtazamo wangu bado timu inahitaji kufanya usajili wa maana. Bado pengo la Chama na Luis lipo wazi. Ushauri wangu kupitia dirisha dogo tufanye usajili laa sivyo ubingwa ligi kuu utakua ni ndoto. Huko champions league ndio kabisa tutaishia kwenye makundi.
Wabongo tunamatatizo sanaMechi ya Simba na Yanga sio kipimo cha kujua ubora wa team bro
Kwahiyo hilo pengo la kina chama na luis umeliona kwa mechi moja tu ndo utoe tathmini ya msimu mzima toa ujinga hapa
Kwanza hama simba
Hata kama pengo la chama na miquisoni lipo ila tatizo lilipo sasa ni striker simba walitengeneza nafasi nyingi walishindwa kuzitumia hata mechi ya tp mazembe ilikuwa hvyo hvyo clear chances tatu zote mugalu kapoteza.
Wanasajil mayai wa Afrika magharib unategemea nn!?Kwa mtazamo wangu bado timu inahitaji kufanya usajili wa maana. Bado pengo la Chama na Luis lipo wazi. Ushauri wangu kupitia dirisha dogo tufanye usajili laa sivyo ubingwa ligi kuu utakua ni ndoto. Huko champions league ndio kabisa tutaishia kwenye makundi.
Huu ni mtazamo wangu na sijalazimisha mtu yeyote kuufuata huu ushauri.Mechi ya Simba na Yanga sio kipimo cha kujua ubora wa team bro
Kwahiyo hilo pengo la kina chama na luis umeliona kwa mechi moja tu ndo utoe tathmini ya msimu mzima toa ujinga hapa
Kwanza hama simba
Kwa mtazamo wako wewe ubora wa tumu unapimwa kwa mechi gani?Mechi ya Simba na Yanga sio kipimo cha kujua ubora wa team bro
Kwahiyo hilo pengo la kina chama na luis umeliona kwa mechi moja tu ndo utoe tathmini ya msimu mzima toa ujinga hapa
Kwanza hama simba
Ningetegemea uzungumzie zaidi mapengo ya nafasi kuliko ya watu. Miquissone amekuja Simba ikiwa tayari mabingwa mara mbili. Hapo pia pengo lake lilikuwapo?Kwa mtazamo wangu bado timu inahitaji kufanya usajili wa maana. Bado pengo la Chama na Luis lipo wazi. Ushauri wangu kupitia dirisha dogo tufanye usajili laa sivyo ubingwa ligi kuu utakua ni ndoto. Huko champions league ndio kabisa tutaishia kwenye makundi.
Ubora wa timu unapimwa kwa ligi, yaani lazima timu icheze mechi kadhaa kisha performance ya ujumla ilinganishwe na set standardKwa mtazamo wako wewe ubora wa tumu unapimwa kwa mechi gani?
Mashabiki wengi wanakariri Chama na Merqueson,kuna wakati Simba ikifungwa na hao wakiwemo.Mechi ya Simba na Yanga sio kipimo cha kujua ubora wa team bro
Kwahiyo hilo pengo la kina chama na luis umeliona kwa mechi moja tu ndo utoe tathmini ya msimu mzima toa ujinga hapa
Kwanza hama simba
Hivi ajibu anacheza namba ngapi?Mashabiki wengi wanakariri Chama na Merqueson,kuna wakati Simba ikifungwa na hao wakiwemo.
Ukiwa shabiki wa mpira alafu huamini matokeo ya kufungwa basi hufai kuwa shabiki wa soka.
Hizi Match za simba na yanga sio kipimo cha ubora wa timu, mpira unachezwa nje, na kukamiana tu, hakuna cha mbinu za kocha wala nini!!Kwa mtazamo wangu bado timu inahitaji kufanya usajili wa maana. Bado pengo la Chama na Luis lipo wazi. Ushauri wangu kupitia dirisha dogo tufanye usajili laa sivyo ubingwa ligi kuu utakua ni ndoto. Huko champions league ndio kabisa tutaishia kwenye makundi.
Hao kina Chama na Miqquisone wasingebaki Simba milele hivyo kusema ndio kilichowagharimu Simba sio sahihi.Simba wamekosa mtu mbunifu mithili ya chama na miqquissone kule mbele.
Kocha hana budi kubadilisha aina ya uchezaji kwani kwa sasa bado hana key players.
Kwenye robo tatu ya mbele,Simba kwa hizi mechi mbili wamekosa ubunifu kabisa.
Wamesahau bora umewakumbusha Makolokolo FC.Hovyo kabisa,Timu ya Yanga ina nafasi za wachezaji wawili wa kimataifa haukumaliza Usajiri wake ila Makolokolo FC walushamaliza kwa papara zaoSasa msajili nini tena wakati nafasi za kusajili 12 zimejaa? au labda wakuwatumia kimataifa
Walijaza tu nafasi zao kwa usajili kwa sifaWamesahau bora umewakumbusha Makolokolo FC.Hovyo kabisa,Timu ya Yanga ina nafasi za wachezaji wawili wa kimataifa haukumaliza Usajiri wake ila Makolokolo FC walushamaliza kwa papara zao