Simba tusipofanya Usajili dirisha dogo tusahau Ubingwa

Kwani yule Chikwende mlimpeleka wapi?

Ngoja wale Wabotswana wawafunge ndio mtaona wa kumsajili kama kawaida yenu.
 
Mimi kilip changu ni foward. Ya Luis na Chama kuyajadili ni ujinga tu,hawakuzaliwa na Simba hao,wana mama zao wa kuwatunza. Bila shaka kuanzia sasa wakatakuwa wanatafuta foward,waliopo wamechoka sana. Sehemu zingine ziko poa,ni suala la muda tu
 
Huo ndio ukweli. Bila shaka kuanzia sasa wakatakuwa wanatafuta foward,waliopo wamechoka sana. Sehemu zingine ziko poa,ni suala la muda tu
Sasa mambo ya muda wakati muda hautungoji, hapa ifikie muda mmoja kat ya kagere na huyo kope anayetukwaza aondoke apishe top striker wa kutuamulia namna ya kurudsha simba yenye ukali dzain ya enz za chama na konde bwoy.
 
Umeongea ukweli.
 
Sisi mashabiki wa msimbaz hatubshani kaka tunakosoana kwa kuijenga simba. Sorry kama nmekukwaza
hujanikwaza mkuu. Hoja yangu ilikuwa kuna watu ni wazuri sana Simba,mpaka dirisha dogo linafika itajulikana kama wabovu ama lah. Wewe unasema hakuna haja ya kungoja,sasa unataka nini kifanyike kama hata kusubiri dirisha dogo lifike hutaki?
 
hujanikwaza mkuu. Hoja yangu ilikuwa kuna watu ni wazuri sana Simba,mpaka dirisha dogo linafika itajulikana kama wabovu ama lah. Wewe unasema hakuna haja ya kungoja,sasa unataka nini kifanyike kama hata kusubiri dirisha dogo lifike hutaki?
Hapo nmekuelewa lkn nlmaanisha kpnd cha dirisha dogo ndo straiker mmoja atupishe ili tupate ingizo jpya lililo bora, maana nahis mpaka hivi sasa tutakuwa tumejaza nafasi zote za foreigners
 
Hapo nmekuelewa lkn nlmaanisha kpnd cha dirisha dogo ndo straiker mmoja atupishe ili tupate ingizo jpya lililo bora, maana nahis mpaka hivi sasa tutakuwa tumejaza nafasi zote za foreigners
mi naona Mugalu na Kagere wote tu waondoke,abaki Bocco maana Bongo hakuna stiker na huwezi kumreplace na foreigner
 
kama hujui sasa ndiyo nakwambia Simba ina kikosi kikubwa na chenye ubora mkubwa mno - kwa mfano sasa hivi wachezaji 4 ni majeruhi ila ukipanga kikosi mziki ni ule ule.

Ile game ya watani its more political, usiichukulie kama kama kigezo utapotea.

Kwangu mimi SIMBA NI MA CHAMPIONI TENA hili halina ubishi, uless uwe na ubishi wa ukoo kama yule msema hovyo.
 
Tunatoa mechi ya watani ambayo unasema ilikuwa ni political. Haya tuambie performance ya timu ya simba dhidi ya Biashara na dodoma jiji ilikuwa ni kiwango cha kuridhisha kama misimu ya nyuma?
 
Tunatoa mechi ya watani ambayo unasema ilikuwa ni political. Haya tuambie performance ya timu ya simba dhidi ya Biashara na dodoma jiji ilikuwa ni kiwango cha kuridhisha kama misimu ya nyuma?
ndiyo maana nakwambia hujui soka na hujui kuchambua - huwezi kupima uwezo wa timu kwa mechi mbili ambazo viwanja vyenyewe kwanza ni kama vya kuchungia mbuzi.

Tulia acha mapepe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…