Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chama na saido mmoja awe anaanzia benchi baadae saido ndio aingie.hii sentensi haijakaa vizuri iweke sawaKwa mpira wa jana je Simba tutatoboa makundi kweli? Naiona simba ikistruggle sana chini ya Robertinho.
Saido na Chama mmoja awe anaanzia benchi baadae Saido ndio aingieee. Tuwe na timu ya mgunda full stop.
Thimba guvu moya Mwamedi FC Pusha FC Sembe FC.Kwa mpira wa jana je Simba tutatoboa makundi kweli? Naiona simba ikistruggle sana chini ya Robertinho.
Saido na Chama mmoja awe anaanzia benchi baadae Saido ndio aingieee. Tuwe na timu ya mgunda full stop.
Mwendelee kutengeneza timu kwa msimu ujao na msisahau kuwastaafisha wazee kwa manufaa ya klabu utakuta mnawapa tena wasinye miaka 2 mtakiona cha motoKwa mpira wa jana je Simba tutatoboa makundi kweli? Naiona simba ikistruggle sana chini ya Robertinho.
Saido na Chama mmoja awe anaanzia benchi baadae Saido ndio aingieee. Tuwe na timu ya mgunda full stop.