Ila mnakumbuka mlichotujibu? je tulipewa hzo point 3? tatzo mnasahau mapema sana!Subiri maamuz ya kamati,,mbona mlikujaga hapa kuwa Ajib alikua na matatizo kak hayo na baadae
Acha woga. Kwa nini umeshindwa kumalizia hapo chini, MwanaYANGA
Simba wamemkatia rufaa mchezaji muhamed fakhi wakidai alicheza akiwa na kadi tatu za njano baada ya kupigwa miwa miwili kule kagera hivyo wanataka wapewe point 3.
Mechi imechezwa jumapili lkn wakatiwa rufaa wamejua wamekatiwa rufaa alhamisi tena kwa siri kuvuja sbb simba wakishirikiana kamati ya saa 72 ambayo imejaza watu wa simba na kila wakutanapo kufanya maamuzi yanayoihusu simba huitana wenyewe kwa kisingizio akidi imetimia na kila kunapokua na mahudhurio ya watu ambao sio simba mwenyekiti huahirisha kutoa maamuzi hata kama ukweli umebainika na wataendelea kupiga kalenda mpaka siku watakayofanikiwa kukutana watu wa simba pekee.
Kwa mujibu wa kocha wa kagera anakataa fakhi hana kadi tatu, mratibu wa kagera anakataa mchezaji mwenyewe anakataa na kuanisha mechi alizoadhibiwa kwa kadi za njano.
Sarakasi nyingine mechi simba wanayosema alipata kadi haikuonyeshwa hivyo mashahidi pekee ni maafisa walioisimamia wakati huo huo refa aliochezesha hiyo mechi ndio aliochezesha mechi simba wanayodai point.
Kubwa kuliko eti maamuzi yameshindwa kufanyika baada ya kuwahoji maafisa watatu waliosimamia hiyo mechi na kutofautiana hivyo wanataka kupata majibu ya afisa wa 4 ambae ni kamishina swali hawa watatu walipatijanaje huyu mmoja ashindwe kupatikana?
Hapa ndio rushwa inapoanzia huyu kamishina anaetakiwa ndio awe shahidi wa mwisho kupenyezewa mlungula tu.
Ajabu lingine kamati wanatuambia hakuna ripoti zozote wanazopeleka bodi ya ligi baada ya mechi? Zile ripoti wanazosemaga zinawasilishwa bodi baada ya mechi ni zipi kama zipo kwa nini zisitumike?
Rushwa nyingine anatoa malinzi kwa simba sbb simba ndio waliomuweka malinzi tff na bahati mbaya anamaliza muda bila simba kuwa bingwa huku akikabiliwa na uchaguzi, ili arudi tena tff lazima awape simba rushwa ya ubingwa sbb 80% kama si 90% ya wenyeviti wa mikoa ni simba zaidi ya 60% ya viongozi wa vilabu vingine vya vpl ni simba hivyo hakuna namna lazima awalambe miguu kwa rushwa ya ubingwa.
Kama mkijinadi kwa mbwembwe nyie mabingwa wa kutandaza soka basi chukueni ubingwa kwa kutandaza soka sio rushwa
Mfurukutwa wa soka......
Hiyo ni kasumba ya wanasimba kila wanaposemwa maovu yao wanasema yanga ndio wanasema hata police walipolalamika ya lufunga manara alisema yanga haoAcha woga. Kwa nini umeshindwa kumalizia hapo chini, MwanaYANGA
[emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahishaMi naunga mkono simba kupewa point za mechi ya kagera,tuna siku nyingi hatujatwaa kikombe cha ligi kuu,so ubingwa ni ubingwa tu no matter what
Ni kweli aisee...Malinzi ndy kikwazo namba moja kwenye ubingwa wa simba....ila wana simba tunasema MBELE...NYUMA kote ni KUGEGEDWA tu..
Mara ngp mnapewa ratiba za kupanga matokeo? Na magoli ya mkono kwamba lazima vyura fc ashindeNi kweli aisee...
Malinzi huwa anawazuia wachezaji wa simba kupata Mabao wawapo kwenye mechi...
Na ndio yeye anayetoa assist kwenye mechi za Yanga ambazo akina Msuva, Tambwe, Chirwa na wengineo wanafunga...
Na ndio yeye aliyesababisha hata Mbaraka Yusuph akapata Bao pale Kaitaba...
Bila kusahau lile bao la dakika za mwisho la Africa Lyon.... Ni yeye pia amesababisha...
Yaani huyu Malinzi ni tatizo kubwa sana kwa klabu ya simba kupata ubingwa.. Kwa kuwa Klabu yetu iwapo uwanjani unashindwa kupata matokea mazuri kwa sababu tu.. Malinzi ni Rais wa TFF...
Hebu tuambie hizo ratiba za kupanga matokeo ni za namna gani ? Hatuja kuelewa hapo!Mara ngp mnapewa ratiba za kupanga matokeo? Na magoli ya mkono kwamba lazima vyura fc ashinde
Si mngehonga kagera wawaachie kuliko kijutia aibu ya.namna hii na Yanga inahitaji point mbili za A. Lyon watoe maamuzi pia, uliangalia soka la jana lakin pole mkuuYanga bingwa magoli ya mkono.
Wewe duniani umeona wapi timu ikawa na VIPORO VYA MECHI 5""au bila sababu ya msingi timu icheze leo na ingine ichezwe ksho...viwanja tofauti...tena mechi za mwishoHebu tuambie hizo ratiba za kupanga matokeo ni za namna gani ? Hatuja kuelewa hapo!
Wewe duniani umeona wapi timu ikawa na VIPORO VYA MECHI 5""au bila sababu ya msingi timu icheze leo na ingine ichezwe ksho...viwanja tofauti...tena mechi za mwisho
Wewe huoni kama kujuwa matokeo ya mwenzio na ww unaweza ukafanya figisu za kununuwa?na vyura fc ndy mabingwa wa MIAMALA
Mkuu Umeanza kushabikia Mpira ukubwani?
Kwa hivyo Yanga akiwa na viporo vya mechci 5 inapelekeaje wachezaji wa simba kukosa nguvu za miguuni za kushinda mechi zao?
Una maanisha Yanga akiwa na kiporo inawaathiri wachezaji wa simba hata washindwe kufanya vyema kiwanjani?
hebu nisaidie kidogo! nashindwa kukuelewa mwenzangu....Hivi viporo vya klabu nyingine zinaathiri vipi perfomance ya timu yako? Au inakuwaje timu yako inashindwa kuhakikisha inashinda game zake zote mpaka ianze kuhamisha macho kwa jirani na kuanza kutathmini matokeo ya jirani...?
Wewe duniani umeona wapi timu ikawa na VIPORO VYA MECHI 5""au bila sababu ya msingi timu icheze leo na ingine ichezwe ksho...viwanja tofauti...tena mechi za mwisho
Wewe huoni kama kujuwa matokeo ya mwenzio na ww unaweza ukafanya figisu za kununuwa?na vyura fc ndy mabingwa wa MIAMALA