Kwa hiyo unamaanisha ilitakiwa mechi yetu ya jana tungetaman kuchezea kigamboni auMo Simba Arena....utopolo wakiona hii lazima watamani kujinyonga!!
.Simba leo anacheza na KMC uwanja wa Mo Arena ,mechi ni jioni ya leo.View attachment 1472033
Itakuwa ni njama za TFF kutaka kuibeba SimbaHawa kmc si walicheza na sisi jana? Inakuaje leo tena kmc acheze na simba bila kupumzika?
.Hiyo ni Yanga, leo ni simba
Aisee mbona kama simba ndio imefantiwa husda ya wazi wazi?Hata simba leo asubuhi walicheza na Transit Camp matokeo ilikuwa 4-2
Magoli ya Simba
3' Deo Kanda
15' Fraga
17' Tairone
46'Medie Kagere