Simba vs Prison: Hii ni mechi tamu

Simba vs Prison: Hii ni mechi tamu

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Huu mtanange unachezwa saa ngapi tuwaache wadaiwa sugu wa Papa Mwinyi Zahera?
 
Simba nguvu moja tusonga mbele hadi makundi na robo tutafika!!!
 
Leo kuna timu ilibakia kidogo tu iangukie pua kwenye uwanja wake wa nyumbani. Nilishudia goli mbili za wazi kabisa zikiokolewa na yule kijana wa Chicago, kule Mkamba B.

Hapo bado mechi ya marudiano kule Sokoine! Kazi ipo.
 
Ukweli mashabiki wa simba wamekomaa sana kimichezo kwa sasa wanajua kabisa katika mpira kuna kushinda na kushindwa hawana hofu timu imepoteza lakini wako kimya na maisha yanaendelea ingekuwa kagera shuga hapa wangemfuata kocha waliemfukuza guest na kuanza kumrushia chupa za maji kisa kagera shuga imefungwa
 
Back
Top Bottom