kiamangwana
Senior Member
- Feb 28, 2015
- 175
- 89
Sijui niko sawasawa lkn nijuavyo mimi mechi kama hii ya SIMBA na RAYON ni ya kimataifa sasa nisichokijua mbona hakuna bendera ya TAIFA wala ya RWANDA wala ya FIFA wala ya CAF,hii ni sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app