Simba Vs Ruvu Shooting: Tutegemee soka na matokeo ya aina gani?

Ruvu shooting wanacheza mpira wa ridhaa waslahi yao ni kiduchu kabisa zaidi ya kununuliwa chakula siku ya mechi eti ndo mpaka dakika ya 60 Simba haijasawazisha bao moja timu inayolipwa vizuri wachezaji wanalala pazuri nani atavumilia upuuzi huu Simba kufungwa mala mbili mfululizo na vibonde tena na mechi ya Nyumbani? Hakika something wrong somewhre.
 
Simba wanabebwa na wao wamepata penalty
 
Matokeo vipi Shabiki mwenzangu wa Simba Sports Club! A.k.a Mabingwa Watetezi? Ni dk ya ngapi sasa!!!

Mimi shabiki mwenzako niko mbali kidogo na luninga.
 
Nadhani kocha ni haki kutimuliwa. Huwezi kuwaingiza Ndemla na Morison waisaidie timu ikiwa imefungwa huku ndani kuna Ajib. Zimbwe alikuwa mbovu toka mwanzo, alipaswa atolewe mapema. Hiki ni kikosi kibovu kuwahi kupangwa kwa miaka hii.
Sawa Julio tutakupa nafasi ya upendeleo wa kukinoa kikosi baada tu ya kumtimua huyu kocha kipenzi cha sisi mashabiki.
 
Mpiraaaa umeishaaaaaaaa
Simba 0 papasa fc 1
Masau Bwire leo atachonga! Aliahidi kuwapapasa hawa viumbe, jana wakati anahojiwa na vyombo vya habari! Na hatimaye ahadi imetimia. Hongera nyingi kwa Ruvu Shooting kwa kutupapasia huyu mnyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…