Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Hahahahaha. Dogo huna adabu kabisa. Huyu Beberu arudi kwao tu.Sawa Julio tutakupa nafasi ya upendeleo wa kukinoa kikosi baada tu ya kumtimua huyu kocha kipenzi cha sisi mashabiki.
Watakuwa wanasimamia uchaguzi.Na wqo Simba watazuga wana pressure ya uchaguzi
Azam kapigwaaaAzam kaendaje na mtibwa wadau
Mtibwa 1-0 AzamAzam kaendaje na mtibwa wadau
Mwenyewe namsubr Masau BwireMasau Bwire leo atachonga! Aliahidi kuwapapasa hawa viumbe, jana wakati anahojiwa na vyombo vya habari! Na hatimaye ahadi imetimia. Hongera nyingi kwa Ruvu Shooting kwa kutupapasia huyu mnyama.
Hii app inazingua haonyeshi mechi ya bongo,acha kudanganya watuLIVE MUDA HUU: ITAZAME MECHI YA SIMBA VS RUVUSHOOTING LIVE KUPITIA SIMU YAKO PAKUA APP KUTAZAMA[emoji117][emoji117]Download application | J FOOTBALL & MOVIE TVS
[emoji23][emoji23][emoji1787]Watakuwa wanasimamia uchaguzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo hivyo tena bwashee. Ushauri wako umeuleta kwa kuchelewa.Muhammed Hussein angetoka na nafasi yake apewe gadiel maiko mbaga teyari pira lilimshinda dogo.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa. Ajib pia. Bwalya sjui ndio namba gani aliyecheza ile. Sijawahi kumkubali Ndemla hata siku moja, Hana kiwango cha kucheza Simba labda Ndanda. Timu nzima mchezaji alimuwa Konde Boy tuMuhammed Hussein angetoka na nafasi yake apewe gadiel maiko mbaga teyari pira lilimshinda dogo.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hiyo ndiyo Biriani yenyewe Bwashee! Inapatikana Msimbazi pekee!Wachezaji wa Simba huenda hawawajui washabiki wake. Simply hatukuzoea mpira huu.
Madogo wa siku hizi cheche sana. Enzi zetu miaka ya 90 pasingekalika Msimbazi muda huu.Hiyo ndiyo Biriani yenyewe Bwashee! Inapatikana Msimbazi pekee!
ndiyo mpira huo tofauti ni maamuziNdiyo hivyo tena bwashee. Ushauri wako umeuleta kwa kuchelewa.
Ndemla ni either baba kantuma au anatumia kizizi pale msimbazi maana hakuna anachofanya Simba yani ni Useless .anasifika kwa mashuti makali lakini hayana macho hajawahi kujifunza kutokana na makosa anayofanya kila sikuSahihi kabisa. Ajib pia. Bwalya sjui ndio namba gani aliyecheza ile. Sijawahi kumkubalia Mdemla hata kidogo. Timu nzima mchezaji alimuwa Konde Boy tu
Ni wakati sasa wa kuhoji zilipo zile bilioni zetu 20 alizo ahidi mdhamini wetu Mwamedi.Mpira wa Tanzania ndio huu !!
Simba kufungwa mechi mbili kuna jambo wamelipanga na limepangika.
Haiwezekani kwa kiwango kile ! wiki za mwanzo halafu kucheza hovyo kiasi hichi na kwa kiwango hichi wanastahili sana kufungwa.
Sasa utasikia sijui kocha sijui mwekezaji
Sasa wanaanza upya...
Very average team halafu waende kimataifa ... zitaanza tano tena.
Wengi hawauoni ubovu wa zimbwe ila tukienda ligi ya mabingwa ndio tutaona. Anapenda kukaa na mpira muda mrefu, analazimisha kupiga chenga wakati hajui, anapenda kushambulia lakini harudi haraka anatoa pasi bokoNadhani kocha ni haki kutimuliwa. Huwezi kuwaingiza Ndemla na Morison waisaidie timu ikiwa imefungwa huku ndani kuna Ajib. Zimbwe alikuwa mbovu toka mwanzo, alipaswa atolewe mapema. Hiki ni kikosi kibovu kuwahi kupangwa kwa miaka hii.