Simba Vs Ruvu Shooting: Tutegemee soka na matokeo ya aina gani?

Ndo washadundwa ivoo!!
 
Jana nimebeba udongo ukaombewa kuanzia Leo maadui ZAKO watapigwa na kuchanwa chanwa naona RUVU Walikuwa na mm Kwa Mwamposa

Hapoosijatunmiaa mafutaaa
 
Pila Mihogo na maghimbi
Simba hoyeeeee
Mo hoyeeeee
Billion 20 hoyeeee
Morison hoyeeee
Kikosi kipana hoyeeee
 
Hivi ratiba ya Simba kabla hajacheza na Yanga ikoje!?
 
Wengi hawauoni ubovu wa zimbwe ila tukienda ligi ya mabingwa ndio tutaona. Anapenda kukaa na mpira muda mrefu, analazimisha kupiga chenga wakati hajui, anapenda kushambulia lakini harudi haraka anatoa pasi boko
Naona leo mmeamua kugunguka mmeacha kudanganywa na manara sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…