Huwezi kuwa yanga wewe ni mamlukiMimi ni yanga but leo niko na simba kwa maslahi mapana ya Taifa, iam sory watani sitaweza vaa jezi nyekundu...ntavaa bendera ya Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si Yanga bali ni mamluki,Yanga hatuna shabiki Mbumbumbu kama weweYanga damu damu, toka nazaliwa.....mimi nina pacha wangu tulikua tunapigana sana nyumbani tunaenda shule tumenuniana, ila mmoja akichokozwa tulikua tunasahau tofauti zetu na kugawa kipondo cha maana, hii falsafa ndio inanifanya leo nivae tshirt ya bendera ya Taifa na kuishangilia timu inayowakilisha Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app