Simba vs Stella (abdijan 1993) msemaji wa simba mwaka ule alikuwa nani?

Bamileck

Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
26
Reaction score
39
Namaanisha kuwa simba ni Timu kubwa kubwa tena kubwa Sana
Kama mafanikio yalianza kuwa zamanii
Mashabiki wa simba wanahitaji Timu nzuri wachezaji wazuri na vikombe vingi
Simba ilishafanikiwa miaka mingi nyuma kabla ya kuanzishwa KWA kitengo cha MSEMAJI wa Timu


Kilichoongelewa leo kwenye press ni kama kutia tone la sumu kwenye ndoo ya maziwa tu

Simba nguvu moja
 
[emoji881][emoji881][emoji881]
 
Zeruzeru anawachonganisha viongozi na mashabiki.
 
Wewe shabiki wa Simba halafu hujui Nani alikuwa Msemaji wa Simba? Nani kakudanganya Simba haikuwa na Msemaji mwaka1993?
 
Wewe shabiki wa Simba halafu hujui Nani alikuwa Msemaji wa Simba? Nani kakudanganya Simba haikuwa na Msemaji mwaka1993?
 
Wewe shabiki wa Simba halafu hujui Nani alikuwa Msemaji wa Simba? Nani kakudanganya Simba haikuwa na Msemaji mwaka1993?
Soma mainbody utaelewa nilichoomanisha hiyo ni headline tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…