Habari wakuu.
Haya mambo yanayoendelea kati ya simba na yanga wa huku anaenda kule, wakule anaenda huko hasa kipindi hiki cha usajili kabla ya kuanza kwa ligi yetu pendwa ya VPL.
Je, kuna tofauti gani Kati ya manguli wawili wa siasa za nchi hii kati ya CCM na Chadema?