Super SportNasikia mechi itaonyeshwa kwenye Tv channels mbalimbali barani Afrika, je kuna anaezijua hizo channels ? kama unazijua basi naomba utuwekee hapa ...shukran!
mkuu tafadhali sana usichafue mandhari ya thread!plzEnewei mimi ni CCM hence Yanga Afrika ya Umoja wa Mataifa!
Wapi matokeo na Vikosi vikoje?